Ada
ya shule ni kama ifuatavyo:-
Darasa
la Awalini sh. 300,000/= kwa mwaka.
Darasa
la I – VII ni sh. 500,000/= kwa mwaka.
Nauli ya usafiri kwa mwanafunzi anayetumia basi
la shule ni kama ifuatavyo:-
·
Mwanafunzi anayetoka Nyehunge
au Bupandwa atalipa sh. 200,000/= kwa mwaka.
Ada
na michango mingine inalipwa kwa awamu mbili:-
i)
Mwanzo wa mwaka (Januari
– Juni)
ii)
Baada ya likizo ya mwezi wa sita
(Julai – Septemba)
No comments:
Post a Comment